BIASHARA YAKO KUWA NA POOR PERFOMANCE
Kuna siku nimekaa sehemu moja ya chakula, kisha akaja mhudumu akanambia nikusaidie nini, nikamwambia nataka chakula mną nini
Akanambia mbuzi, nyama Choma mishkaki ugali chips nk
Nikasema naomba nyama na ugali na Maji pls
Akasema naomba Hela kabisa nikasema Naomba lipa namba
Akasema kaka hapa cash mambo ya simu haturuhusu na sikuwa na Hela cash nikauliza kuna AtM hapa? Akasema iko mtaa wa pili nikaona sio mbaya wacha nikatoe Hela nije kula
Baada ya kutoa Hela narudi nakutana na Bango hapo hapo linasema “wakala wa bank, lipa kwa simu mpesa airtel tigo nk
Mmh nikauliza yule dada “sasa dada kumbe hapa mnaruhusu kulipa kwa simu! Mbona umenichosha hivyo!?
Akasema mimi sivielewi naona tu unipe Cash
Niliboeka sana na mood ya kula iliisha woooiiii
Nikasema ahsante
Ila nilicho notice Yule hana shida shida ni ma boss Żake wanajifunza wao ila hawafundishi staff wao
Na wewe 2024 hili kosa achaaaaaaa!!!
Comments
Post a Comment